Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 15:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 wa wana wa Hebroni; Elieli mkuu wao, na nduguze themanini;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 kutoka katika ukoo wa Hebroni, wakaja Elieli pamoja na ndugu zake 80 chini ya usimamizi wake;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 kutoka katika ukoo wa Hebroni, wakaja Elieli pamoja na ndugu zake 80 chini ya usimamizi wake;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 kutoka katika ukoo wa Hebroni, wakaja Elieli pamoja na ndugu zake 80 chini ya usimamizi wake;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Kutoka wazao wa Hebroni, Elieli kiongozi na ndugu zake themanini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Kutoka wazao wa Hebroni, Elieli kiongozi na ndugu zake 80.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 15:9
9 Marejeleo ya Msalaba  

wa wana wa Uzieli; Aminadabu mkuu wao, na nduguze mia moja kumi na wawili.


wa wana wa Elsafani; Shemaya mkuu wao, na nduguze mia mbili;


Wana wa Kohathi; Amramu, Ishari, Hebroni, na Uzieli, watu wanne.


Wana wa Hebroni; Yeria mkuu wao, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, na Yekameamu wa nne.


Wa Waamrami wa Waishari, wa Wahebroni, wa Wauzieli;


Na wana wa Kohathi; Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli.


Na wana wa Kohathi; ni Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli; na miaka ya maisha ya huyo Kohathi ilikuwa ni miaka mia moja na thelathini na mitatu.


Hizi ndizo jamaa za Lawi; jamaa ya Walibni, na jamaa ya Wahebroni, na jamaa ya Wamala, na jamaa ya Wamushi jamaa ya Wakora. Na Kohathi alimzaa Amramu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo