1 Mambo ya Nyakati 15:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC3 Basi Daudi akawakusanya Israeli wote huko Yerusalemu, ili kulipandisha sanduku la BWANA, mpaka mahali pake alipoliwekea tayari. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Basi, akawakusanya Waisraeli wote waje Yerusalemu, ili kulileta sanduku la Mwenyezi-Mungu mahali alipolitayarishia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Basi, akawakusanya Waisraeli wote waje Yerusalemu, ili kulileta sanduku la Mwenyezi-Mungu mahali alipolitayarishia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Basi, akawakusanya Waisraeli wote waje Yerusalemu, ili kulileta sanduku la Mwenyezi-Mungu mahali alipolitayarishia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Daudi akawakusanya Israeli wote huko Yerusalemu ili kulipandisha Sanduku la Mwenyezi Mungu na kulileta hadi kwenye sehemu aliyokuwa ametengeneza kwa ajili yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Daudi akawakusanya Israeli wote huko Yerusalemu ili kulipandisha Sanduku la bwana na kulileta hadi kwenye sehemu aliyokuwa ametengeneza kwa ajili yake. Tazama sura |