1 Mambo ya Nyakati 15:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC19 Hivyo hao waimbaji, Hemani, Asafu, na Ethani, wakaagizwa kupiga matoazi yao ya shaba kwa sauti kuu; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Hemani, Asafu na Etani wakachaguliwa kupiga matoazi ya Shaba. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Hemani, Asafu na Etani wakachaguliwa kupiga matoazi ya Shaba. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Hemani, Asafu na Etani wakachaguliwa kupiga matoazi ya Shaba. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Waimbaji Hemani, Asafu na Ethani walichaguliwa kupiga matoazi ya shaba; Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Waimbaji Hemani, Asafu na Ethani walichaguliwa kupiga matoazi ya shaba; Tazama sura |