1 Mambo ya Nyakati 15:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC14 Basi makuhani na Walawi wakajitakasa, ili wapate kulipandisha sanduku la BWANA, Mungu wa Israeli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Basi, makuhani na Walawi wakajitakasa ili wapate kulileta sanduku la Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Basi, makuhani na Walawi wakajitakasa ili wapate kulileta sanduku la Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Basi, makuhani na Walawi wakajitakasa ili wapate kulileta sanduku la Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Kwa hiyo makuhani pamoja na Walawi wakajitakasa ili kulipandisha Sanduku la Mwenyezi Mungu, Mungu wa Israeli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Kwa hiyo makuhani pamoja na Walawi wakajitakasa ili kulipandisha Sanduku la bwana, Mungu wa Israeli. Tazama sura |