Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 14:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 Basi hao Wafilisti walikuwa wamekuja na kujitawanya katika bonde la Warefai.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Wafilisti walifika wakaanza mashambulizi katika bonde la Refaimu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Wafilisti walifika wakaanza mashambulizi katika bonde la Refaimu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Wafilisti walifika wakaanza mashambulizi katika bonde la Refaimu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Basi Wafilisti walikuwa wameingia na kushambulia Bonde la Warefai,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Basi Wafilisti walikuwa wameingia na kushambulia Bonde la Warefai,

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 14:9
7 Marejeleo ya Msalaba  

Tena, watatu miongoni mwa wale thelathini waliokuwa wakuu wakashuka, wakamwendea Daudi wakati wa mavuno mpaka pango la Adulamu, na kikosi cha Wafilisti walikuwa wamefanya kambi katika bonde la Warefai.


Basi Wafilisti walikuwa wamekuja na kujitawanya bondeni mwa Warefai.


Tena, watatu miongoni mwa wale thelathini waliokuwa wakuu wakashuka mwambani, wakamwendea Daudi, hadi pango la Adulamu; na jeshi la Wafilisti walikuwa wamefanya kambi bondeni mwa Warefai.


Daudi akamwuliza Mungu, akisema, Je! Nipande juu ya Wafilisti! Utawatia mikononi mwangu? Naye BWANA akamwambia, Panda; kwa kuwa nitawatia mikononi mwako.


Lakini hao Wafilisti wakajitawanya tena mara ya pili bondeni.


Wafilisti waliposikia ya kwamba Daudi ametiwa mafuta ili awe mfalme wa Israeli wote, Wafilisti wote wakapanda kumtafuta Daudi; naye Daudi akasikia, akatoka nje kupigana nao.


Tena itakuwa kama hapo mvunaji ashikapo mabua ya ngano, na mkono wake ukatapo masuke; tena itakuwa kama hapo mtu aokotapo masuke katika bonde la Warefai.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo