1 Mambo ya Nyakati 14:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 Nao wakaiacha miungu yao huko; naye Daudi akaamuru, ikateketezwa kwa moto. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Wafilisti walipokimbia, waliziacha sanamu za miungu yao huko, naye Daudi akatoa amri zote zichomwe moto. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Wafilisti walipokimbia, waliziacha sanamu za miungu yao huko, naye Daudi akatoa amri zote zichomwe moto. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Wafilisti walipokimbia, waliziacha sanamu za miungu yao huko, naye Daudi akatoa amri zote zichomwe moto. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Wafilisti walikuwa wametupa miungu yao huko, naye Daudi akaamuru iteketezwe kwa moto. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Wafilisti walikuwa wameacha miungu yao huko, Daudi akaamuru iteketezwe kwa moto. Tazama sura |