Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 13:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Nao jamii nzima wakasema ya kwamba watafanya hivyo; kwa kuwa neno hilo lilikuwa jema machoni pa watu wote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Watu wote walikubaliana na pendekezo hilo kwani waliliona kuwa jambo jema.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Watu wote walikubaliana na pendekezo hilo kwani waliliona kuwa jambo jema.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Watu wote walikubaliana na pendekezo hilo kwani waliliona kuwa jambo jema.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Kusanyiko lote wakakubaliana kufanya hivyo, kwa sababu ilionekana vyema kwa watu wote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Kusanyiko lote likakubaliana kufanya hivyo, kwa sababu ilionekana vyema kwa watu wote.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 13:4
6 Marejeleo ya Msalaba  

Wakaangalia watu wote, yakawa mema machoni pao; kama yalivyokuwa mema machoni pao yote aliyoyatenda mfalme.


nasi tujirudishie tena sanduku la Mungu wetu; maana hatukulitilia maanani katika siku za Sauli.


Basi Daudi akawakusanya Israeli wote, toka Shihori, kijito cha Misri, hadi pa kuingilia Hamathi, ili walilete sanduku la Mungu kutoka Kiriath-yearimu.


Likawa neno jema machoni pa mfalme, na kusanyiko lote.


Akasema, Mfalme akiona vema, nami nikiwa nimepata kibali machoni pake, na neno likionekana jema mbele ya mfalme, nami nikimpendeza machoni pake, na iandikwe amri kuzitangua barua za Hamani mwana wa Hamedatha, Mwagagi, alizotunga na kuziandika ili kuwaangamiza Wayahudi walioko katika mikoa yote ya mfalme.


Walakini Mikali, binti Sauli, alimpenda Daudi; watu wakamwambia Sauli, na neno hilo likampendeza.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo