1 Mambo ya Nyakati 13:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC3 nasi tujirudishie tena sanduku la Mungu wetu; maana hatukulitilia maanani katika siku za Sauli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Kisha twende tukalichukue sanduku la agano la Mungu wetu, maana hatukulijali wakati wa utawala wa mfalme Shauli.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Kisha twende tukalichukue sanduku la agano la Mungu wetu, maana hatukulijali wakati wa utawala wa mfalme Shauli.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Kisha twende tukalichukue sanduku la agano la Mungu wetu, maana hatukulijali wakati wa utawala wa mfalme Shauli.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Sisi na tulirudishe Sanduku la Mungu wetu kwetu kwa maana hatukujali wakati wa utawala wa Sauli.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Sisi na tulirudishe Sanduku la Mungu wetu kwetu kwa maana hatukujali wakati wa utawala wa Sauli.” Tazama sura |