1 Mambo ya Nyakati 13:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC14 Sanduku la Mungu likakaa na jamaa ya Obed-edomu, nyumbani mwake, muda wa miezi mitatu; naye BWANA akaibariki nyumba ya Obed-edomu, na yote aliyokuwa nayo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Sanduku hilo la Mungu lilikaa huko kwa Obed-edomu kwa muda wa miezi mitatu, naye Mwenyezi-Mungu akaibariki nyumba ya Obed-edomu na mali yake yote. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Sanduku hilo la Mungu lilikaa huko kwa Obed-edomu kwa muda wa miezi mitatu, naye Mwenyezi-Mungu akaibariki nyumba ya Obed-edomu na mali yake yote. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Sanduku hilo la Mungu lilikaa huko kwa Obed-edomu kwa muda wa miezi mitatu, naye Mwenyezi-Mungu akaibariki nyumba ya Obed-edomu na mali yake yote. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Sanduku la Mungu likakaa kwa jamaa ya Obed-Edomu, nyumbani mwake kwa miezi mitatu, naye Mwenyezi Mungu akaibariki nyumba yake pamoja na kila kitu alichokuwa nacho. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Sanduku la Mungu likabaki pamoja na jamaa ya Obed-Edomu, nyumbani kwake kwa miezi mitatu, naye bwana akaibariki nyumba yake pamoja na kila kitu alichokuwa nacho. Tazama sura |