1 Mambo ya Nyakati 13:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC13 Basi Daudi hakujichukulia sanduku mjini mwa Daudi, ila akalihamisha kando na kulitia nyumbani kwa Obed-edomu, Mgiti. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Basi, Daudi hakulichukua sanduku mpaka mji wa Daudi, bali alilipeleka nyumbani kwa Obed-edomu, Mgiti. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Basi, Daudi hakulichukua sanduku mpaka mji wa Daudi, bali alilipeleka nyumbani kwa Obed-edomu, Mgiti. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Basi, Daudi hakulichukua sanduku mpaka mji wa Daudi, bali alilipeleka nyumbani kwa Obed-edomu, Mgiti. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Hakulichukua hilo Sanduku akae nalo katika Mji wa Daudi. Badala yake, akalipeleka nyumbani mwa Obed-Edomu, Mgiti. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Hakulichukua hilo Sanduku akae nalo katika Mji wa Daudi. Badala yake, akalipeleka nyumbani kwa Obed-Edomu, Mgiti. Tazama sura |