1 Mambo ya Nyakati 13:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Naye Daudi akaona uchungu, kwa kuwa BWANA amemfurikia Uza; akapaita mahali pale Peres-uza hata leo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Daudi alikasirika kwa sababu Mwenyezi-Mungu alimuua Uza akiwa na hasira. Kwa sababu hiyo, mahali hapo huitwa Peres-uza hadi leo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Daudi alikasirika kwa sababu Mwenyezi-Mungu alimuua Uza akiwa na hasira. Kwa sababu hiyo, mahali hapo huitwa Peres-uza hadi leo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Daudi alikasirika kwa sababu Mwenyezi-Mungu alimuua Uza akiwa na hasira. Kwa sababu hiyo, mahali hapo huitwa Peres-uza hadi leo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Ndipo Daudi akakasirika kwa sababu ghadhabu ya Mwenyezi Mungu ilifurika dhidi ya Uza, mahali pale pakaitwa Peres-Uza hadi leo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Ndipo Daudi akakasirika kwa sababu ghadhabu ya bwana ilifurika dhidi ya Uza, mahali pale pakaitwa Peres-Uza hadi leo. Tazama sura |