1 Mambo ya Nyakati 13:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC10 Ndipo hasira ya BWANA ikawaka juu ya Uza, naye akampiga, kwa sababu alilinyoshea sanduku mkono wake, hadi akafa pale pale mbele za Mungu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Mara Mwenyezi-Mungu akamkasirikia Uza kwa kulishika sanduku, akamuua. Uza akafa papo hapo mbele ya Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Mara Mwenyezi-Mungu akamkasirikia Uza kwa kulishika sanduku, akamuua. Uza akafa papo hapo mbele ya Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Mara Mwenyezi-Mungu akamkasirikia Uza kwa kulishika sanduku, akamuua. Uza akafa papo hapo mbele ya Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Hasira ya Mwenyezi Mungu ikawaka dhidi ya Uza, akampiga kwa sababu aliuweka mkono wake kwenye Sanduku. Kwa hiyo akafa pale mbele za Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Hasira ya bwana ikawaka dhidi ya Uza, akampiga kwa sababu aliuweka mkono wake kwenye Sanduku. Kwa hiyo akafa pale mbele za Mungu. Tazama sura |