1 Mambo ya Nyakati 13:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC1 Kisha Daudi akafanya shauri na makamanda wa maelfu, na makamanda wa mamia, naam, na kila kiongozi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Daudi alishauriana na makamanda wa vikosi vya maelfu na vikosi vya mamia, pamoja na viongozi wote. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Daudi alishauriana na makamanda wa vikosi vya maelfu na vikosi vya mamia, pamoja na viongozi wote. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Daudi alishauriana na makamanda wa vikosi vya maelfu na vikosi vya mamia, pamoja na viongozi wote. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Daudi alishauriana na kila kiongozi wake, majemadari wa maelfu na majemadari wa mamia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Daudi alishauriana na kila afisa wake, majemadari wa maelfu na majemadari wa mamia. Tazama sura |
Zaidi ya hayo, wale waliokuwa karibu nao, hata mpaka kwa Isakari, na Zabuloni, na Naftali, wakaleta chakula juu ya punda, na ngamia, na nyumbu, na ng'ombe, vyakula vya unga, mikate ya tini, na vichala vya zabibu kavu, na divai, na mafuta, na ng'ombe, na kondoo tele; kwa kuwa kulikuwa na furaha katika Israeli.