Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 12:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

25 Wa wana wa Simeoni, wanaume mashujaa wa vita, elfu saba na mia moja.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Kutoka kabila la Simeoni, watu 7,100 mashujaa na wenye ujuzi mwingi wa vita.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Kutoka kabila la Simeoni, watu 7,100 mashujaa na wenye ujuzi mwingi wa vita.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Kutoka kabila la Simeoni, watu 7,100 mashujaa na wenye ujuzi mwingi wa vita.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Watu wa Simeoni, mashujaa waliokuwa wamejiandaa kwa vita, walikuwa elfu saba na mia moja.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Watu wa Simeoni, mashujaa waliokuwa tayari kwa vita walikuwa 7,100.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 12:25
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa Israeli alipokuwa akikaa katika nchi ile, Reubeni akaenda akalala na Bilha, suria wa babaye; Israeli akasikia habari. Basi hao wana wa Yakobo walikuwa kumi na wawili.


Wana wa Lea ni Reubeni, mzaliwa wa kwanza wa Yakobo, na Simeoni, na Lawi, na Yuda, na Isakari, na Zabuloni.


Wana wa Yuda, waliochukua ngao na mkuki, walikuwa elfu sita na mia nane, wenye silaha za vita.


Wa wana wa Lawi, elfu nne na mia sita.


na Bakbakari, na Hereshi, na Galali, na Matania, mwana wa Mika, mwana wa Zikri, mwana wa Asafu;


na Obadia, mwana wa Shemaya, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni; na Berekia, mwana wa Asa, mwana wa Elkana; waliokaa katika vijiji vya Wanetofathi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo