Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 12:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

14 Hao Wagadi walikuwa makamanda wa jeshi, yeye aliyekuwa mdogo amelingana na mia moja, na yeye aliyekuwa mkuu, na elfu moja.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Wagadi hao, walikuwa maofisa wa jeshi. Kulingana na vyeo vyao, mdogo alisimamia kikosi cha wanajeshi 100, na mkubwa alisimamia kikosi cha wanajeshi 1,000.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Wagadi hao, walikuwa maofisa wa jeshi. Kulingana na vyeo vyao, mdogo alisimamia kikosi cha wanajeshi 100, na mkubwa alisimamia kikosi cha wanajeshi 1,000.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Wagadi hao, walikuwa maofisa wa jeshi. Kulingana na vyeo vyao, mdogo alisimamia kikosi cha wanajeshi 100, na mkubwa alisimamia kikosi cha wanajeshi 1,000.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Hawa Wagadi walikuwa majemadari. Aliyekuwa mdogo alikuwa kama watu mia moja, naye aliyekuwa mkuu alikuwa kama watu elfu moja.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Hawa Wagadi walikuwa majemadari. Aliyekuwa wa mwisho kuliko wote aliweza kuongoza askari 100, na aliyekuwa na uweza zaidi ya wote aliongoza 1,000.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 12:14
3 Marejeleo ya Msalaba  

Yeremia wa kumi, Makbanai wa kumi na moja.


Na watu watano wa kwenu watawafukuza watu mia moja, na watu mia moja wa kwenu watawafukuza watu elfu kumi; na adui zenu wataanguka mbele yenu kwa upanga.


Mmoja angefukuzaje watu elfu, Wawili wangekimbizaje elfu kumi, Kama Mwamba wao asingaliwauza, Kama BWANA asingaliwatoa?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo