1 Mambo ya Nyakati 11:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Akaujenga huo mji pande zote, toka Milo na kuuzunguka; naye Yoabu akautengeneza mji uliosalia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Aliujenga mji huo, akianzia Milo, na kuuzunguka wote, na Yoabu akautengeneza mji huo upya. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Aliujenga mji huo, akianzia Milo, na kuuzunguka wote, na Yoabu akautengeneza mji huo upya. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Aliujenga mji huo, akianzia Milo, na kuuzunguka wote, na Yoabu akautengeneza mji huo upya. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Akajenga mji pande zote, kuanzia Milo hadi kwenye ukuta kuzunguka; wakati huo huo Yoabu akajenga sehemu zingine zilizobaki za Yerusalemu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Akajenga mji pande zote, kuanzia kwenye mito hadi kwenye ukuta kuzunguka, wakati huo huo Yoabu akajenga sehemu zingine zilizobaki za Yerusalemu. Tazama sura |