Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 11:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Basi Daudi akakaa ngomeni; kwa hiyo ukaitwa mji wa Daudi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Daudi alikaa katika ngome hiyo, na kwa hiyo, mji huo ukaitwa “Mji wa Daudi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Daudi alikaa katika ngome hiyo, na kwa hiyo, mji huo ukaitwa “Mji wa Daudi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Daudi alikaa katika ngome hiyo, na kwa hiyo, mji huo ukaitwa “Mji wa Daudi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Daudi akafanya makao yake kwenye ngome, hivyo ukaitwa Mji wa Daudi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Daudi akafanya makao yake kwenye ngome, hivyo ukaitwa Mji wa Daudi.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 11:7
5 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini Daudi aliiteka ngome ya Sayuni; huu ndio mji wa Daudi.


Na hao wenyeji wa Yebusi wakamwambia Daudi, Hutaingia humu. Walakini Daudi akaitwaa ngome ya Sayuni; huu ndio mji wa Daudi.


Naye Daudi akasema, Mtu yeyote atakayekuwa wa kwanza wa kuwapiga Wayebusi, yeye atakuwa mkuu na jemadari. Naye wa kwanza aliyepanda ni Yoabu mwana wa Seruya, naye akawa mkuu.


Akaujenga huo mji pande zote, toka Milo na kuuzunguka; naye Yoabu akautengeneza mji uliosalia.


Nami nimemweka mfalme wangu Juu ya Sayuni, mlima wangu mtakatifu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo