1 Mambo ya Nyakati 11:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC4 Kisha Daudi na Israeli wote wakaenda Yerusalemu, (ndio Yebusi;) nao Wayebusi, wenyeji wa nchi, walikuwamo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Baadaye Daudi na Waisraeli wote walikwenda Yerusalemu uliojulikana kama Yebusi, na ambao wenyeji wake walikuwa Wayebusi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Baadaye Daudi na Waisraeli wote walikwenda Yerusalemu uliojulikana kama Yebusi, na ambao wenyeji wake walikuwa Wayebusi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Baadaye Daudi na Waisraeli wote walikwenda Yerusalemu uliojulikana kama Yebusi, na ambao wenyeji wake walikuwa Wayebusi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Daudi na Waisraeli wote wakaenda Yerusalemu (ndio Yebusi). Nao Wayebusi walioishi humo Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Daudi na Waisraeli wote wakaenda Yerusalemu (ndio Yebusi). Nao Wayebusi walioishi humo Tazama sura |