Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 11:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

28 Ira mwana wa Ikeshi Mtekoi, Abiezeri Mwanathothi;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Ira, mwana wa Ikeshi Mtekoa, Abiezeri Mwanathothi;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Ira, mwana wa Ikeshi Mtekoa, Abiezeri Mwanathothi;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Ira, mwana wa Ikeshi Mtekoa, Abiezeri Mwanathothi;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Ira mwana wa Ikeshi kutoka Tekoa, Abiezeri kutoka Anathothi,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Ira mwana wa Ikeshi kutoka Tekoa, Abiezeri kutoka Anathothi,

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 11:28
7 Marejeleo ya Msalaba  

na Helesi, Mpeloni, na Ira, mwana wa Ikeshi, Mtekoi;


na Abiezeri, Mwanathothi, na Sibekai, Mhushathi;


Shama Mharodi, Helesi Mpeloni;


Sibekai Mhushathi, Salmoni Mwahohi;


Mkubwa wao alikuwa Ahiezeri, kisha Yoashi, wana wa Shemaa Mgibeathi; na Yezieli, na Peleti, wana wa Azmawethi; na Beraka, na Yehu Mwanathothi;


Kamanda wa tisa wa mwezi wa tisa alikuwa Abiezeri, Mwanathothi, wa Wabenyamini; na katika zamu yake walikuwa watu elfu ishirini na nne.


Kamanda wa sita wa mwezi wa sita alikuwa Ira, mwana wa Ikeshi, Mtekoi; na katika zamu yake walikuwa watu ishirini na nne elfu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo