1 Mambo ya Nyakati 11:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC24 Mambo hayo ndiyo aliyoyafanya Benaya, mwana wa Yehoyada, akawa na jina kati ya wale mashujaa watatu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema24 Benaya, mwana wa Yehoyada alifanya mambo haya, akajipatia jina miongoni mwa wale mashujaa watatu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND24 Benaya, mwana wa Yehoyada alifanya mambo haya, akajipatia jina miongoni mwa wale mashujaa watatu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza24 Benaya, mwana wa Yehoyada alifanya mambo haya, akajipatia jina miongoni mwa wale mashujaa watatu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu24 Haya yalikuwa mambo ya ushujaa ya Benaya mwana wa Yehoyada; naye pia alikuwa maarufu kama wale mashujaa watatu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu24 Haya yalikuwa mambo ya ushujaa ya Benaya mwana wa Yehoyada; naye pia alikuwa maarufu kama wale mashujaa watatu. Tazama sura |