1 Mambo ya Nyakati 11:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 Na Daudi wakati ule alikuwako ngomeni, na walinzi wa Wafilisti wakati ule walikuwa huko Bethlehemu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Naye Daudi wakati huo alikuwa katika ngome, nalo jeshi la Wafilisti lilikuwa mjini Bethlehemu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Naye Daudi wakati huo alikuwa katika ngome, nalo jeshi la Wafilisti lilikuwa mjini Bethlehemu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Naye Daudi wakati huo alikuwa katika ngome, nalo jeshi la Wafilisti lilikuwa mjini Bethlehemu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Wakati huo Daudi alikuwa katika ngome, na kambi ya Wafilisti ilikuwa huko Bethlehemu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Wakati huo Daudi alikuwa katika ngome, na kambi ya Wafilisti ilikuwa huko Bethlehemu. Tazama sura |