1 Mambo ya Nyakati 11:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 Na baada yake kulikuwa na Eleazari, mwana wa Dodai, Mwahohi, mmojawapo wa wale mashujaa watatu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Halafu aliyefuata miongoni mwa wale mashujaa watatu alikuwa Eleazari mwana wa Dodo, Mwahohi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Halafu aliyefuata miongoni mwa wale mashujaa watatu alikuwa Eleazari mwana wa Dodo, Mwahohi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Halafu aliyefuata miongoni mwa wale mashujaa watatu alikuwa Eleazari mwana wa Dodo, Mwahohi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Aliyefuata alikuwa Eleazari, mwana wa Dodai Mwahohi, mmoja wa wale mashujaa watatu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Aliyefuata alikuwa Eleazari, mwana wa Dodai, Mwahohi, mmojawapo wa wale mashujaa watatu. Tazama sura |