1 Mambo ya Nyakati 11:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC1 Ndipo Israeli wote wakamkusanyikia Daudi huko Hebroni, wakisema, Tazama, sisi tu mfupa wako na nyama yako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Kisha Waisraeli wote walikusanyika pamoja kwa Daudi huko Hebroni, wakamwambia: “Tazama, sisi ni mwili na damu yako. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Kisha Waisraeli wote walikusanyika pamoja kwa Daudi huko Hebroni, wakamwambia: “Tazama, sisi ni mwili na damu yako. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Kisha Waisraeli wote walikusanyika pamoja kwa Daudi huko Hebroni, wakamwambia: “Tazama, sisi ni mwili na damu yako. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Waisraeli wote walimjia Daudi kwa pamoja huko Hebroni, wakamwambia, “Sisi ni mwili wako na damu yako. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Israeli yote walimjia Daudi kwa pamoja huko Hebroni wakamwambia, “Sisi ni nyama yako na damu yako. Tazama sura |