Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 10:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Hivyo Sauli akafa, na wanawe watatu; na nyumba yake yote wakafa pamoja.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Hivyo ndivyo Shauli alivyokufa, yeye na wanawe watatu, na jamaa yake yote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Hivyo ndivyo Shauli alivyokufa, yeye na wanawe watatu, na jamaa yake yote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Hivyo ndivyo Shauli alivyokufa, yeye na wanawe watatu, na jamaa yake yote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Kwa hiyo Sauli na wanawe watatu wakafa, pamoja na nyumba yake yote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Kwa hiyo Sauli na wanawe watatu wakafa, pamoja na nyumba yake yote.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 10:6
8 Marejeleo ya Msalaba  

Na mchukua silaha zake alipoona ya kuwa Sauli amekufa, yeye naye akauangukia upanga wake, akafa.


Kisha watu wote wa Israeli, waliokuwa huko bondeni, walipoona ya kuwa wamekimbia, na ya kuwa Sauli na wanawe wamekufa, wakaiacha miji yao, wakakimbia; nao Wafilisti wakaenda wakakaa humo.


Lakini kama mkiendelea kutenda mabaya, mtaangamia, ninyi na mfalme wenu pia.


Hivyo Sauli akafa, na wanawe watatu, na mchukua silaha zake, na watu wake wote pamoja siku iyo hiyo.


Ikawa alipolitaja sanduku la Mungu, Eli akaanguka kitini pake kwa nyuma, kando ya mlango, shingo yake ikavunjika, akafa; maana alikuwa mzee, tena mzito. Naye alikuwa amewaamua Waisraeli miaka arubaini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo