1 Mambo ya Nyakati 10:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC5 Na mchukua silaha zake alipoona ya kuwa Sauli amekufa, yeye naye akauangukia upanga wake, akafa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Halafu yule aliyembebea silaha alipoona kuwa Shauli amekufa, naye pia akauangukia upanga wake, akafa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Halafu yule aliyembebea silaha alipoona kuwa Shauli amekufa, naye pia akauangukia upanga wake, akafa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Halafu yule aliyembebea silaha alipoona kuwa Shauli amekufa, naye pia akauangukia upanga wake, akafa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Mbeba silaha wake alipoona kwamba Sauli amekufa, naye pia akauangukia upanga wake akafa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Mbeba silaha wake alipoona kwamba Sauli amekufa, naye pia akauangukia upanga wake akafa. Tazama sura |