Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 10:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

3 Tena vita vilikuwa vikali sana juu ya Sauli, na wapiga upinde wakampata; hadi akafadhaika sana kwa sababu ya wapiga upinde.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Vita vilikuwa vikali sana dhidi ya Shauli. Wapiga mishale walipomwona walimjeruhi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Vita vilikuwa vikali sana dhidi ya Shauli. Wapiga mishale walipomwona walimjeruhi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Vita vilikuwa vikali sana dhidi ya Shauli. Wapiga mishale walipomwona walimjeruhi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Mapigano yakawa makali kumzunguka Sauli na wakati wapiga mishale walipompata, wakamjeruhi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Mapigano yakawa makali kumzunguka Sauli na wakati wapiga mishale walipompata, wakamjeruhi.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 10:3
6 Marejeleo ya Msalaba  

Nao Wafilisti wakamfuatia sana Sauli na wanawe; Wafilisti wakawaua Yonathani, na Abinadabu, na Malkishua, wana wa Sauli.


Ndipo Sauli akamwambia yule mchukua silaha zake, Futa upanga wako, unichome nao, ili watu hawa wasiotahiriwa wasije wakanisimanga. Lakini huyo mchukua silaha zake akakataa; kwa sababu aliogopa sana. Basi Sauli akautwaa upanga wake, akauangukia.


Naye apigaye mbio atapotewa na kimbilio; Wala aliye hodari hataongeza nguvu zake; Wala shujaa hatajiokoa nafsi yake;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo