Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 1:51 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

51 Akafa Hadadi. Na hawa ndio majumbe wa Edomu; jumbe Timna, na jumbe Alva, na jumbe Yethethi;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

51 Naye Hadadi akafariki. Wakuu wa makabila ya Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

51 Naye Hadadi akafariki. Wakuu wa makabila ya Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

51 Naye Hadadi akafariki. Wakuu wa makabila ya Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

51 Naye Hadadi pia akafa. Wakuu wa Edomu walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

51 Naye Hadadi pia akafa. Wakuu wa Edomu walikuwa: Timna, Alva, Yethethi,

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 1:51
4 Marejeleo ya Msalaba  

Hawa ndio majumbe wao wana wa Esau; wana wa Elifazi, mzaliwa wa kwanza wa Esau; jumbe Temani, jumbe Omari, jumbe Sefo, jumbe Kenazi,


Na hayo ndiyo majina ya majumbe waliotoka kwa Esau, kufuata jamaa zao, na mahali pao, kwa majina yao. Jumbe Timna, jumbe Alva, jumbe Yethethi,


Baal-Hanani akafa, naye Hadadi akatawala badala yake; na jina la mji wake ni Pau; na jina la mkewe ni Mehetabeli, binti Matredi, binti Mezahabu.


na jumbe Oholibama, na jumbe Ela, na jumbe Pinoni;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo