Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 1:48 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

48 Samla akafa, naye Shauli, wa Rehobothi karibu na Mto, akatawala badala yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

48 Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ulio karibu na mto Eufrate, alitawala badala yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

48 Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ulio karibu na mto Eufrate, alitawala badala yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

48 Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ulio karibu na mto Eufrate, alitawala badala yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

48 Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ng’ambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

48 Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ng’ambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 1:48
3 Marejeleo ya Msalaba  

Akafa Samla, na Shauli wa Rehobothi, ulio karibu na mto, akamiliki badala yake.


Hadadi akafa, naye Samla, wa Masreka, akatawala badala yake.


Shauli akafa, naye Baal-Hanani, mwana wa Akbori, akatawala badala yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo