Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 1:45 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

45 Yobabu akafa, naye Hushamu, wa nchi ya Watemani, akatawala badala yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

45 Yobabu alipofariki, Hushamu wa nchi ya Watemi alitawala badala yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

45 Yobabu alipofariki, Hushamu wa nchi ya Watemi alitawala badala yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

45 Yobabu alipofariki, Hushamu wa nchi ya Watemi alitawala badala yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

45 Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

45 Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 1:45
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Elifazi, ni Temani na Omari, na Sefo, na Gatamu, na Kenazi.


Akafa Yobabu, akamiliki Hushamu, wa nchi ya Watemani, badala yake.


Hushamu akafa, naye Hadadi, mwana wa Bedadi, akatawala badala yake, ambaye aliwapiga Midiani katika uwanja wa Moabu; na jina la mji wake ni Avithi.


Basi ikawa hao marafiki watatu wa Ayubu walipopata habari ya mabaya hayo yote yaliyomfikia, wakaja kila mtu kutoka mahali pake; nao ni Elifazi Mtemani, na Bildadi Mshuhi, na Sofari Mnaamathi; wakapatana pamoja ili waende kumfariji Ayubu na kumtuliza moyo.


Na mashujaa wako, Ee Temani, watafadhaika, hata iwe kila mtu akatiliwe mbali kwa kuuawa katika kilima cha Esau.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo