Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 1:42 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

42 Wana wa Eseri; Bilhani, na Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani; Usi, na Arani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

42 Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani na Akani; na wana wa Dishoni walikuwa Usi na Arani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

42 Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani na Akani; na wana wa Dishoni walikuwa Usi na Arani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

42 Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani na Akani; na wana wa Dishoni walikuwa Usi na Arani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

42 Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani. Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

42 Wana wa Eseri walikuwa: Bilhani, Zaavani na Akani. Wana wa Dishani walikuwa: Usi na Arani.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 1:42
5 Marejeleo ya Msalaba  

Wana wa Ana; Dishoni. Na wana wa Dishoni; Hemdani, na Eshbani, na Ithrani, na Kerani.


Basi hawa ndio wafalme waliotawala katika nchi ya Edomu, kabla hajatawala mfalme yeyote juu ya wana wa Israeli; Bela, mwana wa Beori; na jina la mji wake ni Dinhaba.


Furahi, ushangilie, Ee binti Edomu, Ukaaye katika nchi ya Usi; Hata kwako kikombe kitapita, Utalewa, na kujifanya uchi.


Wakasafiri kutoka Bene-yaakani, wakapiga kambi Hor-hagidgadi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo