Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 1:39 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

39 Na wana wa Lotani; Hori, na Hemamu; na Timna ni dada yake Lotani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

39 Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

39 Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

39 Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

39 Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

39 Wana wa Lotani walikuwa wawili: Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 1:39
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Lotani, ni Hori, na Hemamu; na dada yake Lotani ni Timna.


Na wana wa Seiri; Lotani, na Shobali, na Sibeoni, na Ana, na Dishoni, na Eseri, na Dishani.


Wana wa Shobali; Alvani, na Manahathi, na Ebali, na Shefo, na Onamu. Na wana wa Sibeoni; Aya, na Ana.


Na Wahori nao walikuwa wakikaa Seiri hapo kale, lakini wazawa wa Esau waliwafuata; wakawaangamiza mbele yao, wakakaa badala yao; kama alivyofanya Israeli nchi ya milki yake aliyopewa na BWANA.)


kama vile alivyowafanyia wana wa Esau, waliokaa Seiri, alipowaangamiza Wahori mbele yao; wakawafuata, wakakaa badala yao hadi hivi leo;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo