Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 1:36 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

36 Wana wa Elifazi; Temani, na Omari, na Sefo, na Gatamu, na Kenazi, na, kwa Timna, Amaleki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Wana wa Elifazi walikuwa Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna na Amaleki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Wana wa Elifazi walikuwa Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna na Amaleki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Wana wa Elifazi walikuwa Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna na Amaleki.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Wana wa Elifazi walikuwa: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi; Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Wana wa Elifazi walikuwa: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi; Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 1:36
9 Marejeleo ya Msalaba  

Wana wa Esau; Elifazi, na Reueli, na Yeushi, na Yalamu, na Kora.


Wana wa Reueli; Nahathi, na Zera, na Shama, na Miza.


na jumbe Kenazi, na jumbe Temani, na jumbe Mibsari;


Basi, lisikieni shauri la BWANA; Alilolifanya juu ya Edomu; Na makusudi yake aliyoyakusudia Juu yao wakaao Temani; Hakika watawaburura, naam, wadogo wa kundi; Hakika malisho yao yatafadhaika kwa ajili yao.


Kuhusu Edomu. BWANA wa majeshi asema hivi, Je! Hakuna tena hekima katika Temani? Mashauri yamewapotea wenye busara? Je! Imetoweka hekima yao?


lakini nitatuma moto juu ya Temani, nao utayateketeza majumba ya Bosra.


Na mashujaa wako, Ee Temani, watafadhaika, hata iwe kila mtu akatiliwe mbali kwa kuuawa katika kilima cha Esau.


Mungu alikuja kutoka Temani, Yeye aliye mtakatifu kutoka mlima Parani. Utukufu wake ukazifunika mbingu, Nayo dunia ikajaa sifa yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo