Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 1:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 na Mhivi, na Mwarki, na Msini;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Wahivi, Waarki, Wasini,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Wahivi, Waarki, Wasini,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Wahivi, Waarki, Wasini,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Wahivi, Waarki, Wasini,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Wahivi, Waariki, Wasini,

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 1:15
7 Marejeleo ya Msalaba  

na Mhivi, na Mwarki, na Msini,


Kwa habari ya watu wote waliosalia, Waamori, Wahiti, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi, wasiokuwa wa wana wa Israeli;


na Myebusi, na Mwamori, na Mgirgashi;


na Mwarvadi, na Msemari, na Mhamathi.


Itakuwa hapo BWANA atakapowaleta mpaka nchi ya Wakanaani, na Wahiti, na Waamori, na Wahivi, na Wayebusi, nchi hiyo aliyowaapia baba zako kwamba atakupa wewe, ni nchi imiminikayo maziwa na asali, ndipo mtakapoushika utumishi huu katika mwezi huu.


Nami nimesema, Nitawapandisha kutoka katika mateso ya Misri na kuwaingiza katika nchi ya Mkanaani, na Mhiti, na Mwamori, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi, nchi ijaayo maziwa na asali.


nami nimeshuka ili niwaokoe kutoka kwa mikono ya Wamisri, niwapandishe kutoka nchi ile, hadi nchi njema, kisha pana; nchi itiririkayo maziwa na asali; hata mahali pa Mkanaani, na Mhiti, na Mwamori, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo