Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Mambo ya Nyakati 1:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 na Wapathrusi, na Wakasluhi; huko ndiko walikotoka Wafilisti, na Wakaftori.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Wapathrusi Wakaftori na Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti).

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Wapathrusi Wakaftori na Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti).

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Wapathrusi Wakaftori na Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti).

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.

Tazama sura Nakili




1 Mambo ya Nyakati 1:12
6 Marejeleo ya Msalaba  

na Wapathrusi, na Wakasluhi; huko ndiko walikotoka Wafilisti na Wakaftori.


Na Misri akazaa Waludi, na Waanami, na Walehabi, na Wanaftuhi,


Na Kanaani akamzaa Sidoni, mwanawe wa kwanza, na Hethi;


kwa sababu ya siku ijayo kuwaangamiza Wafilisti wote, kukatilia mbali kila msaidizi wa Tiro na Sidoni asaliaye; maana BWANA atawaharibu Wafilisti, mabaki ya kisiwa cha Kaftori.


Je! Ninyi si kama wana wa Wakushi kwangu mimi, enyi wana wa Israeli, asema BWANA? Je! Mimi sikuwapandisha Israeli toka nchi ya Misri, na Wafilisti toka Kaftori, na Washami toka Kiri?


na Waavi waliokuwa wakikaa katika vijiji mpaka Gaza waliangamizwa na Wakaftori waliotoka Kaftori, na hawa wakakaa badala yao.)


Tufuate:

Matangazo


Matangazo