Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yuda 1:23 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

23 bali wengine waokoeni kwa khofu, mkiwanyakua katika moto, mkilichukia hatta vazi lililotiwa takataka na mwili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 waokoeni kwa kuwanyakua kutoka motoni. Lakini kwa wengine muwe na huruma pamoja na tahadhari, mkichukia hata mavazi yao yenye madoa ya tamaa zao mbaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 waokoeni kwa kuwanyakua kutoka motoni. Lakini kwa wengine muwe na huruma pamoja na tahadhari, mkichukia hata mavazi yao yenye madoa ya tamaa zao mbaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 waokoeni kwa kuwanyakua kutoka motoni. Lakini kwa wengine muwe na huruma pamoja na tahadhari, mkichukia hata mavazi yao yenye madoa ya tamaa zao mbaya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 okoeni wengine kwa kuwanyakua kutoka motoni; nao wengine wahurumieni mkiwa na hofu, mkichukia hata vazi lenye mawaa na kutiwa unajisi na mwili.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 wengine waokoeni kwa kuwanyakua kutoka kwenye moto; nao wengine wahurumieni mkiwa na hofu, mkichukia hata vazi lenye mawaa na kutiwa unajisi na mwili.

Tazama sura Nakili




Yuda 1:23
21 Marejeleo ya Msalaba  

Huenda nikapata kuwatia wivu walio damu moja na mimi na kuwaokoa baadhi vao.


Msidanganyike: mazumgumzo mabaya huharibu tabia njema.


Kazi ya mtu ikiteketea, atapata khasara; lakini yeye mwenyewe ataokolewa; lakini kule kuokolewa kama kwa moto.


Bassi tukiijua khofu ya Bwana, twawavuta wana Adamu; lakini tumedhihirishwa mbele za Mungu. Nami natumaini ya kuwa tunadhihirishwa katika dhamiri zenu pia.


Na ikiwa mtu aliye yote halishiki neno letu la waraka huu, jihadharini na mtu huyo, wala msizumgumze nae, apate kutahayarika;


Jitunze nafsi yako, na yale mafundisho. Ukadumu katika hayo; maana kwa kufanya hivi utajiokoa nafsi yako nao wakusikiao.


Maana ampae salamu azishirika kazi zake mbovu.


Wahurumiane wengine walio na mashaka;


Nakupa shauri, ununue kwangu dhahabu iliyosafishwa kwa moto, upate kuwa tajiri; na mavazi meupe upate kuvaa, aibu ya nchi wako isionekane; na dawa ya macho ya kujipaka macho yako upate kuona,


Lakini unayo majina machache, hatta katika Sardi, watu wasioyatia uchafu mavazi yao. Nao watakwenda pamoja nami katika mavazi meupe, kwa kuwa wamestahili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo