Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 9:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 Bassi jirani zake, na wale waliomwona zamani kuwa ni kipofu, wakanena, Je! huyu siye yule aliyekuwa akiomba, ameketi?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Basi, jirani zake na wale waliokuwa wanajua kwamba hapo awali alikuwa maskini mwombaji, wakasema, “Je, huyu siye yule maskini aliyekuwa akiketi na kuomba?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Basi, jirani zake na wale waliokuwa wanajua kwamba hapo awali alikuwa maskini mwombaji, wakasema, “Je, huyu siye yule maskini aliyekuwa akiketi na kuomba?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Basi, jirani zake na wale waliokuwa wanajua kwamba hapo awali alikuwa maskini mwombaji, wakasema, “Je, huyu siye yule maskini aliyekuwa akiketi na kuomba?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Majirani zake na wale wote waliokuwa wamemwona hapo awali akiombaomba wakaanza kuuliza, “Je, huyu si yule aliyekuwa akiketi akiombaomba?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Majirani zake na wale wote waliokuwa wamemwona hapo awali akiombaomba wakaanza kuuliza, “Je, huyu si yule aliyekuwa akiketi akiombaomba?”

Tazama sura Nakili




Yohana 9:8
9 Marejeleo ya Msalaba  

Wakafika Yeriko: hatta alipokuwa akishika njia kutoka Yeriko, pamoja na wanafunzi wake, na mkutano mkubwa, mwana wa Timayo, Bartimayo, yule kipofu, alikuwa ameketi kando ya njia, akiomba sadaka.


Wakasikia jirani zake na jamaa zake ya kwamba Bwana amemwongezea rehema zake; wakafurahiwa pamoja nae.


Ikawa alipokaribia Yeriko, pafikuwa na kipofu, amekaa kando ya njia akiomba.


Wengine wakimena, Amefanana nae.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo