Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 9:41 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

41 Yesu akawaambia, Kama mngekuwa vipofu, msingekuwa na dhambi; lakini sasa mwasema Twaona; bassi dhambi yenu inakaa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

41 Yesu akawajibu, “Kama mngekuwa vipofu, hamngekuwa na hatia; lakini sasa nyinyi mwasema: ‘Sisi tunaona,’ na hiyo yaonesha kwamba mna hatia bado.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

41 Yesu akawajibu, “Kama mngekuwa vipofu, hamngekuwa na hatia; lakini sasa nyinyi mwasema: ‘Sisi tunaona,’ na hiyo yaonesha kwamba mna hatia bado.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

41 Yesu akawajibu, “Kama mngekuwa vipofu, hamngekuwa na hatia; lakini sasa nyinyi mwasema: ‘Sisi tunaona,’ na hiyo yaonesha kwamba mna hatia bado.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

41 Isa akawajibu, “Kama mngekuwa vipofu kweli, msingekuwa na hatia ya dhambi, lakini kwa kuwa mnasema, ‘Tunaona,’ basi mna hatia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

41 Isa akawajibu, “Kama mngekuwa vipofu kweli, msingekuwa na hatia ya dhambi, lakini kwa kuwa mnasema, ‘Tunaona,’ basi mna hatia.

Tazama sura Nakili




Yohana 9:41
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na mtumwa yule aliyejua mapenzi ya Bwana wake, asijiweke tayari, wala kutenda mapenzi yake, atapigwa mapigo mengi;


Nawaambia ninyi, huyu alishuka nyumbani kwake amepata kibali kuliko yule: kwa maana killa ajikwezae atadhilika; nae ajidhiliye atakwezwa.


Maana, kama tukifanya dhambi kusudi baada ya kuupokea ujuzi wa kweli, haibaki tena dhabihu kwa ajili ya dhambi;


Bassi yeye ajuae kutenda mema, wala hayatendi, kwake huyu ni dhambi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo