Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 9:33 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

33 Kama huyu asingalitoka kwa Mungu, asingeweza kutenda neno.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Kama mtu huyu hakutoka kwa Mungu, hangeweza kufanya chochote!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Kama mtu huyu hakutoka kwa Mungu, hangeweza kufanya chochote!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Kama mtu huyu hakutoka kwa Mungu, hangeweza kufanya chochote!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Kama huyu mtu hakutoka kwa Mungu, asingeweza kufanya lolote.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Kama huyu mtu hakutoka kwa Mungu, asingeweza kufanya lolote.”

Tazama sura Nakili




Yohana 9:33
4 Marejeleo ya Msalaba  

huyu alikuja kwa Yesu usiku, akamwambia, Rabbi, twajua ya kuwa u mwalimu, umetoka kwa Mungu; kwa maana hakuna mtu awezae kuzifanya ishara hizi uzifanyazo wewe, illa Mungu awe pamoja nae.


Bassi baadhi ya Mafarisayo wakanena, Mtu huyu hakutoka kwa Mungu, kwa sababu haishiki sabato. Wengine wakanena, Awezaje mtu mwenye dhambi kufanya ishara kama hizo?


Tangu awali haijasikiwa ya kuwa mtu ameyafumbua macho ya kipofu aliyezaliwa hali hii.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo