Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 9:32 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

32 Tangu awali haijasikiwa ya kuwa mtu ameyafumbua macho ya kipofu aliyezaliwa hali hii.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Tangu mwanzo wa ulimwengu haijasikika kwamba mtu ameyafumbua macho ya mtu aliyezaliwa kipofu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Tangu mwanzo wa ulimwengu haijasikika kwamba mtu ameyafumbua macho ya mtu aliyezaliwa kipofu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Tangu mwanzo wa ulimwengu haijasikika kwamba mtu ameyafumbua macho ya mtu aliyezaliwa kipofu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Tangu zamani hatujasikia kwamba mtu amemponya yeyote aliyezaliwa kipofu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Tangu zamani hatujasikia kwamba mtu amemponya yeyote aliyezaliwa kipofu.

Tazama sura Nakili




Yohana 9:32
7 Marejeleo ya Msalaba  

(Kama alivyosema kwa vinywa vya manabii wake watakatifu tangu mwanzo),


Wengine wakasema, Maneno haya siyo ya mtu mwenye pepo. Je! pepo aweza kuwafumbua macho vipofu?


Twajua ya kuwa Mungu hawasikii wenye dhambi: bali mtu akiwa mcha Mungu, na kufanya mapenzi yake, huyo amsikia.


Kama huyu asingalitoka kwa Mungu, asingeweza kutenda neno.


Pakawa sauti na radi na umeme, na palikuwa tetemeko la inchi, kubwa, ambalo tangu wana Adamu kuwako juu ya inchi halikuwa namna ile, jinsi lilivyokuwa kubwa tetemeko hilo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo