Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 9:26 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

26 Wakamwambia tena, Alikutenda nini? Alikufumbuaje macho?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Basi, wakamwuliza, “Alikufanyia nini? Alikufumbuaje macho yako?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Basi, wakamwuliza, “Alikufanyia nini? Alikufumbuaje macho yako?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Basi, wakamwuliza, “Alikufanyia nini? Alikufumbuaje macho yako?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Wakamuuliza, “Alikufanyia nini? Aliyafumbuaje macho yako?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Wakamuuliza, “Alikufanyia nini? Aliyafumbuaje macho yako?”

Tazama sura Nakili




Yohana 9:26
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mafarisavo na waandishi wakamvizia kuona kwamba ataponya siku ya Sabato, wapate kumshitaki.


Yeye mwenyewe alisema, Mimi ndiye. Bassi wakamwambia, Macho yako yalifumhuliwaje?


Bassi Mafarisayo nao wakamwuliza tena jinsi alivyopata kuona. Akawaambia, Alitia tope juu ya macho yangu nikanawa, na sasa naona.


Bassi yule mtu akajibu akasema, Kwamba yeye m mwenye dhambi, sijui. Najua neno moja, mimi nalikuwa kipofu, na sasa naona.


Akawajibu, Nimekwisha kuwaambieni, wala hamkusikia: Mbona mnataka kusikia marra ya pili? Ninyi nanyi mnataka kuwa wanafunzi wake?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo