Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 9:25 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

25 Bassi yule mtu akajibu akasema, Kwamba yeye m mwenye dhambi, sijui. Najua neno moja, mimi nalikuwa kipofu, na sasa naona.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Yeye akajibu, “Kama ni mwenye dhambi mimi sijui. Lakini kitu kimoja najua: Nilikuwa kipofu, na sasa naona.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Yeye akajibu, “Kama ni mwenye dhambi mimi sijui. Lakini kitu kimoja najua: Nilikuwa kipofu, na sasa naona.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Yeye akajibu, “Kama ni mwenye dhambi mimi sijui. Lakini kitu kimoja najua: Nilikuwa kipofu, na sasa naona.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Akawajibu, “Mimi sijui kama yeye ni mwenye dhambi. Lakini jambo moja ninalojua, nilikuwa kipofu na sasa ninaona.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Akawajibu, “Mimi sijui kama yeye ni mwenye dhambi. Lakini jambo moja ninalojua, nilikuwa kipofu na sasa ninaona.”

Tazama sura Nakili




Yohana 9:25
5 Marejeleo ya Msalaba  

Akawajibu, Yeye aliyenifanya kuwa mzima, ndiye aliyeniambia, Jitwike kitanda chako, ukaende.


Bassi marra ya pili wakamwita yule mtu aliyekuwa kipofu wakamwambia, Mpe Mungu utukufu. Sisi tunajua ya kuwa mtu huyu ni mwenye dhambi.


Wakamwambia tena, Alikutenda nini? Alikufumbuaje macho?


Yule mtu akajibu akawaambia, Neno hili ni la ajabu, kwamba ninyi hamjui atokako, nae alinifumbua macho.


Amwaminiye Mwana wa Mungu anao ushuhuda ndani yake. Asiyemwamini Mungu amemfanya kuwa mwongo, kwa kuwa hakuuamini ushuhuda ambao Mungu amemsbuhudia Mwana wake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo