Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 9:10 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

10 Yeye mwenyewe alisema, Mimi ndiye. Bassi wakamwambia, Macho yako yalifumhuliwaje?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Basi, wakamwuliza, “Sasa, macho yako yalipataje kufumbuliwa?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Basi, wakamwuliza, “Sasa, macho yako yalipataje kufumbuliwa?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Basi, wakamwuliza, “Sasa, macho yako yalipataje kufumbuliwa?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Wakamuuliza, “Basi macho yako yalifumbuliwaje?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Wakamuuliza, “Basi macho yako yalifumbuliwaje?”

Tazama sura Nakili




Yohana 9:10
11 Marejeleo ya Msalaba  

akawa akilala na kuondoka, usiku na mchana, nayo mbegu ikimea na kukua, asivyojua yeye.


Nikodemo akajibu, akamwambia, Yawezaje kuwa haya?


BAADA ya haya Yesu alikwenda zake ngʼambu ya bahari ya Galilaya, bahari ya Tiberia.


Yeye akajibu, akanena, Mtu aitwae Yesu alifanya tope, akanipaka macho yangu, akaniambia, Enenda hatta birika ya Siloam, ukanawe; bassi nikaenda nikanawa, nikapata kuona.


Bassi Mafarisayo nao wakamwuliza tena jinsi alivyopata kuona. Akawaambia, Alitia tope juu ya macho yangu nikanawa, na sasa naona.


lakiui jinsi aonavyo sasa, hatujui, na ni nani aliyemfumbua macho, hatujui; yeye ni mtu mzima; mwulizeni yeye mwenyewe, atajisemea.


Wakamwambia tena, Alikutenda nini? Alikufumbuaje macho?


Wengine wakimena, Amefanana nae.


Labda mtu atasema, Wafufukaje wafu? Na kwa mwili gani waja?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo