Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 9:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

1 HATTA alipokuwa akipita akamwona nitu, kipofu tangu kuzaliwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Yesu alipokuwa akipita alimwona mtu mmoja, kipofu tangu kuzaliwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Yesu alipokuwa akipita alimwona mtu mmoja, kipofu tangu kuzaliwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Yesu alipokuwa akipita alimwona mtu mmoja, kipofu tangu kuzaliwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Isa alipokuwa akipita, akamwona mtu aliyekuwa kipofu tangu kuzaliwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Isa alipokuwa akipita, akamwona mtu aliyekuwa kipofu tangu kuzaliwa.

Tazama sura Nakili




Yohana 9:1
12 Marejeleo ya Msalaba  

Na vipofu wawili wameketi kando ya njia, nao waliposikia ya kwamba Yesu anapita, wakapaaza sauti zao, wakinena, Uturehemu, Ee Bwana, mwana wa Daud!


Yesu alipokuwa anaondoka kutoka huko, vipofu wawili wakamfuata wakipaaza sauti, wakinena. Uturehemu, Ee mwana wa Daud.


Akamwuliza baba yake, Tangu wakati gani amepatwa na haya? Akasema, Tangu utoto.


Na mwanamke mmoja mwenye kutoka damu tangu miaka thenashara, aliyegharimu vitu vyote alivyo navyo akawapa tabibu asipate kuponywa na mtu aliye yote,


Na huko palikuwa na mtu, amekuwa hawezi muda wa miaka thelathini na minane.


Bassi wakatwaa mawe wamtupie; lakini Yesu akajificha, akatoka hekaluni.


Wanafunzi wake wakamwuliza, wakinena, Rabbi, ni nani aliyetenda dhambi, mtu huyu au wazazi wake, hatta akazaliwa kipofu?


Na huko Lustra palikuwa na mtu mmoja, dhaifu wa miguu, kiwete tangu tumboni mwa mama yake, ambae hajaenda kabisa.


Washenzi walipomwona yule nyoka akimwangikia mkono, wakaambiana, Hakosi mtu huyu ni muuaji; na ijapokuwa ameokoka katika bahari, haki haimwachi kuishi.


maana umri wake yule mtu aliyefanyiwa ishara hii ya kuponya ulipita miaka arubaini.


Akamwona mtu mmoja huko, jina lake Ainea mtu huyo amelala kitandani miaka minane; maana alikuwa amepooza.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo