Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 8:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 Akainama tena, akaandika kwa kidole chake katika inchi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Kisha akainama tena, akawa anaandika ardhini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Kisha akainama tena, akawa anaandika ardhini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Kisha akainama tena, akawa anaandika ardhini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Akainama tena na kuandika ardhini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Akainama tena na kuandika ardhini.

Tazama sura Nakili




Yohana 8:8
3 Marejeleo ya Msalaba  

Nao wakazidi kumhoji, akajiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu awe wa kwanza wa kumtupia jiwe.


Nao, waliposikia, wakashitakiwa na dhamiri zao, wakatoka mmoja mmoja, wakianza tangu wazee hatta wa mwisho; akabaki Yesu peke yake, na yule mwanamke akisimama katikati.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo