Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 8:32 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

32 tena mtaifahamu kweli, nayo kweli itawaweka huru.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Mtaujua ukweli, nao ukweli utawapeni uhuru.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Mtaujua ukweli, nao ukweli utawapeni uhuru.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Mtaujua ukweli, nao ukweli utawapeni uhuru.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Ndipo mtaijua kweli, nayo kweli itawaweka huru.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Ndipo mtaijua kweli nayo kweli itawaweka huru.”

Tazama sura Nakili




Yohana 8:32
42 Marejeleo ya Msalaba  

Jitieni nira yangu, jifunzeni kwa mfano wangu; kwa kuwa mimi ni mpole na moyo wangu umenyenyekea: nanyi mtapata raha rohoni mwenu;


Nae Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu, tukautazama utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee akitoka kwa Baba, amejaa neema na kweli.


Kwa kuwa torati ilitolewa kwa mkono wa Musa, neema na kweli zilikuwa kwa mkono wa Yesu Kristo.


Yesu akamwambia, Ndimi niliye njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba bila kwa mimi.


Lakini ajapo yeye, Roho ya kweli, atawaongozeni katika yote iliyo kweli: kwa maana hatasema kwa shauri lake yeye, lakini yote atakayosikia, atayasema, na mambo yajayo atawapasha khabari yake.


Uwatakase kwa kweli; neno lako ndio kweli.


Imeandikwa katika manabii, Na wote watakuwa wamefundishwa na Mungu. Bassi killa aliyesikia na kujifunza kwa Baba, huja kwangu.


Mtu akipenda kuyatenda mapenzi yake, atajua khabari ya elimu hii kwamba yatoka kwa Mungu, au kwamba mimi nanena kwa nafsi yangu tu.


Bassi Mwana akiwaweka huru mtakuwa huru kweli kweli.


Lakini sasa mkiisha kuandikwa huru, na kuwa mbali ya dhambi, na kufanywa watumwa wa Mungu, faida yenu mnayo, ndio kutakaswa, na mwisho wake uzima wa milele.


Kwa kuwa hamkupokea roho ya utumwa uletao khofu, hali mlipokea roho ya kufanywa waua, kwa hiyo twalia, Abba, Baba.


Kwa sababu sharia ya Roho ya uzima ule ulio katika Yesu Kristo imeniacha huru, nikawa mbali ya sharia ya dhambi na mauti.


Kwa maana yeye aliyekwitwa katika Bwana hali ya utumwa, ni huru wa Bwana. Vivyo hivyo yeye nae aliyekwitwa hali ya uhuru, ni mtuniwa wa Kristo.


KRISTO alitufanya huru kwa uhuru; bassi, simameni, msinaswe tena kwa kifungo cha utumwa.


Maana ninyi, ndugu, mliitwa mpate uhuru; lakini uhuru wenu usiwe sababu ya kuufuata mwili, bali khudumianeni kwa upendo.


wakijifunza siku zote, wasiweze kabisa kufikia ujuzi wa kweli.


Lakini aliyeitazama sharia kamilifu ya uhuru, na kukaa humo, asiwe msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi, huyu atakuwa wa kheri katika kutenda kwake.


Semeni ninyi, katendeni kama watu watakaohukumiwa kwa sharia ya uhuru.


kama huru, na wasiontumia uhuru kwa kusetiri ubaya, bali kaina watumwa wa Mungu.


MZEE kwa bibi mteule na watoto wake niwapendao katika kweli; wala si mimi peke yangu, bali na ndugu wote waijuao ile kweli;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo