Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 8:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

3 Waandishi na Mafarisayo wakamletea mwanamke aliyefumaniwa katika uzinzi, wakamweka katikati,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Basi, waalimu wa sheria na Mafarisayo wakamletea mwanamke mmoja aliyefumaniwa katika uzinzi. Wakamsimamisha katikati yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Basi, waalimu wa sheria na Mafarisayo wakamletea mwanamke mmoja aliyefumaniwa katika uzinzi. Wakamsimamisha katikati yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Basi, waalimu wa sheria na Mafarisayo wakamletea mwanamke mmoja aliyefumaniwa katika uzinzi. Wakamsimamisha katikati yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Walimu wa Torati na Mafarisayo wakamleta mwanamke mmoja aliyefumaniwa akizini. Wakamsimamisha katikati ya umati wa watu wote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Walimu wa Torati na Mafarisayo wakamleta mwanamke mmoja aliyefumaniwa akizini. Wakamsimamisha katikati ya umati wa watu wote.

Tazama sura Nakili




Yohana 8:3
10 Marejeleo ya Msalaba  

Akakusanya makuhani wakuu wote na waandishi wa watu, akatafuta khabari kwao, Kristo azaliwa wapi?


Hatta assubuhi ilipokucha akaingia tena hekaluni, watu wote wakamwendea: nae akaketi akawa akiwafundisha.


wakamwambia, Mwalimu, mwanamke huyu amefumaniwa alipokuwa akizini.


Nao, waliposikia, wakashitakiwa na dhamiri zao, wakatoka mmoja mmoja, wakianza tangu wazee hatta wa mwisho; akabaki Yesu peke yake, na yule mwanamke akisimama katikati.


Wakampeleka yule aliyekuwa kipofu zamani kwa Mafarisayo.


Wakawaweka katikati, wakawauliza, Kwa nguvu gani na kwa jina la nani mmefanya haya ninyi?


Bassi wakati awapo hayi mume wake, kama akiwa na mume mwingine huitwa mzinzi. Bali mume wake akifa, amekuwa huru, hafungwi na sharia hiyo, hatta yeye si mzinzi, ajapokuwa na mume mwingine.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo