Yohana 8:22 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192122 Bassi Wayahudi wakanena, Je! atajiua, kwa kuwa anena, Niendako mimi hamwezi kuja? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema22 Basi, viongozi wa Wayahudi wakasema, “Je, atajiua? Mbona anasema: ‘Niendako nyinyi hamwezi kufika?’” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND22 Basi, viongozi wa Wayahudi wakasema, “Je, atajiua? Mbona anasema: ‘Niendako nyinyi hamwezi kufika?’” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza22 Basi, viongozi wa Wayahudi wakasema, “Je, atajiua? Mbona anasema: ‘Niendako nyinyi hamwezi kufika?’” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu22 Ndipo wale Wayahudi wakasema, “Je, atajiua? Je, hii ndiyo sababu amesema, ‘Niendako mimi ninyi hamwezi kuja’?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu22 Ndipo wale Wayahudi wakasema, “Je, atajiua? Je, hii ndiyo sababu amesema, ‘Niendako mimi ninyi hamwezi kuja’?” Tazama sura |