Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 8:22 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

22 Bassi Wayahudi wakanena, Je! atajiua, kwa kuwa anena, Niendako mimi hamwezi kuja?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Basi, viongozi wa Wayahudi wakasema, “Je, atajiua? Mbona anasema: ‘Niendako nyinyi hamwezi kufika?’”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Basi, viongozi wa Wayahudi wakasema, “Je, atajiua? Mbona anasema: ‘Niendako nyinyi hamwezi kufika?’”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Basi, viongozi wa Wayahudi wakasema, “Je, atajiua? Mbona anasema: ‘Niendako nyinyi hamwezi kufika?’”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Ndipo wale Wayahudi wakasema, “Je, atajiua? Je, hii ndiyo sababu amesema, ‘Niendako mimi ninyi hamwezi kuja’?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Ndipo wale Wayahudi wakasema, “Je, atajiua? Je, hii ndiyo sababu amesema, ‘Niendako mimi ninyi hamwezi kuja’?”

Tazama sura Nakili




Yohana 8:22
11 Marejeleo ya Msalaba  

Na huu ndio ushuhuda wake Yohana, Wayahudi walipotuma makuhani na Walawi toka Yerusalemi wamwulize, Wewe u nani?


Wengi wao wakasema, Ana pepo, tena ana wazimu; mbona mnamsikiliza?


Makutano wakajibu, wakasema, Una pepo; ni nani anaetafuta kukuua?


Bassi Wayahudi wakasemezana wao kwa wao, Huyu atakwenda wapi hatta sisi tusimwone? Atakwenda kwa Utawauyiko wa Wayunani na kuwafundisha Wayunani?


Wayahudi wakajibu wakamwambia, Hatuneni vema sisi kwamba wewe u Msamaria, na una pepo?


Bassi Wayahudi wakamwambia, Sasa tumefahamu ya kuwa una pepo; Ibrahimu amekufa na manabii, na wewe wasema, Mtu akilishika neno langu, hataonja mauti kabisa hatta milele.


Maana mtafakarini sana yeye aliyeyavumilia mapingamizi makuu namna hii ya wenye dhambi juu ya nafsi zao, msije mkadhoofika mkizimia mioyoni mwenu.


Bassi na twende kwake nje ya kituo, tukichukua laumu lake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo