Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 8:17 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

17 Na tena katika sharia yenu imeandikwa, Ushuhuda wa watu wawili ni kweli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Imeandikwa katika sheria yenu ya kwamba ushahidi wa watu wawili ni halali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Imeandikwa katika sheria yenu ya kwamba ushahidi wa watu wawili ni halali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Imeandikwa katika sheria yenu ya kwamba ushahidi wa watu wawili ni halali.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Imeandikwa katika Torati yenu kwamba ushahidi wa watu wawili ni thabiti.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Imeandikwa katika Torati yenu kwamba ushahidi wa watu wawili ni thabiti.

Tazama sura Nakili




Yohana 8:17
13 Marejeleo ya Msalaba  

La, hakusikia, chukua pamoja nawe tena mtu mmoja au wawili, illi kwa vinywa vya mashahidi wawili au watatu killa neno lithubutike.


Yesu akawajibu, Haikuandikwa katika torati yenu, ya kama, Mimi nilisema, Ninyi m miungu?


Lakini litimie neno lililoandikwa katika sharia yao, Walinichukia burre.


HII ndio marra ya tatu ya mimi kuja kwenu. Kwa vinywa vya mashahidi wawili au watatu killa neno litathubutishwa.


Na hivyo sharia imekuwa mwalimu wa kutuleta kwa Kristo, illi tufanyiziwe wema kwa imani.


Niambieni, ninyi ninaotaka kuwa chini ya sharia, hamwisikii torati?


Mtu aliyeidharau sharia ya Musa, alikufa pasipo huruma, kwa neno la mashahidi wawili au watatu.


Tukiupokea ushuliuda wa wana Adamu, ushuhuda wa Mungu ni mkuu zaidi; kwa maana ushuhuda wa Mungu ndio huu, amemshuhudia Mwana wake.


Nami nitawarukhusu mashahidi wangu wawili, nao watatoa unabii siku elfu na miateen na sittini, wamevikwa mavazi ya kigunia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo