Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 8:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

15 Ninyi mwahukumu kwa jinsi ya kiwiliwili; mimi simhukumu mtu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Nyinyi mnahukumu kwa fikira za kibinadamu, lakini mimi simhukumu mtu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Nyinyi mnahukumu kwa fikira za kibinadamu, lakini mimi simhukumu mtu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Nyinyi mnahukumu kwa fikira za kibinadamu, lakini mimi simhukumu mtu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Ninyi mnahukumu kwa kufuata vipimo vya kibinadamu; mimi simhukumu mtu yeyote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Ninyi mnahukumu kwa kufuata vipimo vya kibinadamu, mimi simhukumu mtu yeyote.

Tazama sura Nakili




Yohana 8:15
17 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwambia, Ee mwana Adamu, nani aliyemweka kuwa kadhi au mgawanyi juu yenu?


Na mtu akisikia maneno yangu, asiyashike, mimi simhukumu; maana sikuja niuhukumu ulimwengu, bali niuokoe ulimwengu.


Yesu akajibu, Ufalme wangu sio wa ulimwengu huu, kama ufalme wangu ungekuwa wa ulimwengu huu: watumishi wangu wangalinipigania, nisije nikatiwa mikononi mwa Wayahudi: lakini sasa ufalme wangu sio wa hapa.


Maana Mungu hakumpeleka Mwana wake ulimwenguni auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe nae.


Msihukumu hukumu ya macho, bali ifanyeni hukumu iliyo ya haki.


Akamwambia, Hapana Bwana. Yesu akamwambia, Nami sikuhukumu. Enenda, wala usitende dhambi tena.


KWA hiyo, ee mtu uhukumuye uwae yote, huna udhuru; kwa maana katika hayo uhukumuyo mwingine wajihukumu nafsi yako; kwa maana wewe uhukumuye unafanya yale yale.


Lakini mtu wa rohoni huvatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu.


Hatta imekuwa, sisi tangu sasa hatumjui mtu awae yote kwa jinsi ya mwili. Ingawa sisi tumemjua Kristo kwa jinsi ya mwili, sasa lakini hatumjui hivi tena.


je! hamkufanya ihtilafu mioyoni mwenu mkawa waamuzi wenye mawazo mabovu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo