Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yohana 7:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 Pandeni ninyi kwenda kushika siku kuu hii; mimi sipandi bado kwenda kushika siku kuu hii: kwa kuwa wakati wangu haujatimia bado.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Nyinyi nendeni kwenye sikukuu hiyo. Mimi siendi kwenye sikukuu hiyo, maana saa yangu ifaayo haijafika.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Nyinyi nendeni kwenye sikukuu hiyo. Mimi siendi kwenye sikukuu hiyo, maana saa yangu ifaayo haijafika.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Nyinyi nendeni kwenye sikukuu hiyo. Mimi siendi kwenye sikukuu hiyo, maana saa yangu ifaayo haijafika.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Ninyi nendeni kwenye Sikukuu, lakini mimi sitahudhuria Sikukuu hii kwa sababu wakati wangu haujawadia.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Ninyi nendeni kwenye Sikukuu, lakini mimi sitahudhuria Sikukuu hii kwa sababu wakati wangu haujawadia.”

Tazama sura Nakili




Yohana 7:8
9 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Enendeni mjini kwa mtu fulani, mkamwambie, Mwalimu anena, Majira yaugu i karibu; kwako nitafanya pasaka pamoja na wanafunzi wangu.


Yesu akamwambia, Bibi, ina nini mimi nawe? Saa yangu haijawadia.


Bassi wakatafuta kumkamata: lakini hapana aliyenyosha mkono wake illi kumshika kwa sababu saa yake ilikuwa haijaja bado.


Bassi Yesu akawaambia, Haujafika wakati wangu; wakati wenu sikuzote u tayari.


Alipokwisha kuwaambia haya, akakaa katika Galilaya.


Maneno haya aliyasema Yesu akifundisha kakika hekalu, katika chumba cha hazina; wala hapana mtu aliyemkamata, kwa kuwa saa yake ilikuwa haijaja bado.


Alipokuwa akisema haya, wengi walimwamini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo